Kazi ipo Kweli Kweli Katika Hatua ya Raundi ya Mtoano ya Timu 16 ya Mashindano
ya FIFA ya Kombe la Dunia kwa Vijana chini ya Miaka 20, U-20,
yanayochezwa huko Nchini Turkey itaanza kutimua vumbi leo Jumanne julai 2 kwa Mechi 4
na Jumatano Mechi za mwisho 4.
RATIBA:
RAUNDI YA MTOANO TIMU 16
Jumanne Julai 2
[Istanbul]
Spain v Mexico [Saa 12 Jioni]
Nigeria v Uruguay [Saa 3 Usiku]
[Gaziantep]
Greece v Uzbekistan [Saa 12 Jioni]
France v Turkey [Saa 3 Usiku]
Jumatano Julai 3
[Saa 12 Jioni]
Portugal v Ghana [Kayseri]
Croatia v Chile [Bursa]
[Saa 3 Usiku]
Colombia v Colombia [Trabzon]
Iraq v Paraguay [Antalya]
>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Washindi wa Raundi hii watatinga Robo
Fainali na Afrika imebakiza Timu mbili, Nigeria na Ghana, baada Mali na
Egypt kutolewa hatua za Makundi.
RATIBA:
RAUNDI YA MTOANO TIMU 16
37 02/07 18:00 Istanbul Spain v Mexico
38 02/07 18:00 Gaziantep Greece v Uzbekistan
39 02/07 21:00 Istanbul Nigeria v Uruguay
40 02/07 21:00 Gaziantep France v Turkey
41 03/07 18:00 Kayseri Portugal v Ghana
42 03/07 18:00 Bursa Croatia v Chile
43 03/07 21:00 Trabzon Colombia v Colombia
44 03/07 21:00 Antalya Iraq v Paraguay
ROBO FAINALI
45 06/07 18:00 Rize W40 v W38
46 06/07 21:00 Bursa W39 v W37
47 07/07 18:00 Kayseri W44 v W43
48 07/07 21:00 Istanbul W41 v W42
NUSU FAINALI
49 10/07 18:00 Bursa W45 v W48
50 10/07 21:00 Trabzon W47 v W46
MSHINDI WA TATU
51 13/07 18:00 Istanbul L49 v L50
FAINALI
52 13/07 21:00 Istanbul W49 v W50