DROO
ya Mashindano ya Mataifa ya Africa, rasmi kama Orange Africa Cup of
Nations Morocco 2015, ambayo Fainali zake zitachezwa huko Morocco kati
ya Tarehe 17 Januari hadi 8 Februari 2015, imefanyika hii Leo huko
Cairo, Egypt.
Nchi 51 zitashiriki Mashindano haya
ambapo Mauritania na South Sudan zilishinda toka Raundi ya Kwanza na
kutinga Raundi ya Pili ya Mtoano ambayo Tanzania itacheza na Zimbabwe.

Washindi 14 wa Raundi ya Pili ya Mtoano
wataingia Raundi ya Tatu ya Mtoano ili kupata Timu 7 zitakazosonga
kwenye Makundi ambayo hii Leo pia yamepangwa.
Ikiwa Tanzania itaitoa Zimbabwe basi
kwenye Raundi ya Tatu ya Mtoano itacheza na Mshindi kati ya Mozambique
na South Sudan na Tanzania ikipita hapo itaingia
KUNDI F ambako ziko
Zambia, Cape Verde na Niger.
Yapo Makundi 7 ambapo Mshindi wa Kila
Kundi na Mshindi wa Pili wa Kila Kundi pamoja na Timu moja iliyofuzu
Nafasi ya 3 Bora katika Makundi ndizo zitaingia Fainali kuungana na
Morocco na kufanya idadi ya Timu 16 kwenye Fainali.
RATIBA/MAKUNDI:
Nchi ambazo zimeingia Makundi moja kwa moja:
Nigeria, Ghana, Ivory Coast, Zambia, Burkina Faso, Mali, Tunisia,
Algeria, Angola, Cape Verde, Togo, Egypt, South Africa, Cameroon, DR
Congo, Ethiopia, Gabon, Niger, Guinea, Senegal and Sudan.
RAUNDI YA PILI YA MTOANO
Mechi Na 1: Liberia vs Lesotho
Mechi Na 2: Kenya vs Comoros
Mechi Na 3: Madagascar vs Uganda
Mechi Na 4: Mauritania vs Equatorial Guinea
Mechi Na 5: Namibia vs Congo
Mechi Na 6: Libya vs Rwanda
Mechi Na 7: Burundi vs Botswana
Mechi Na 8: Central African Republic vs Guinea Bissau
Mechi Na 9: Swaziland vs Sierra Leone
Mechi Na 10: Gambia vs Seychelles
Mechi Na 11: Sao Tome e Principe vs Benin
Mechi Na 12: Malawi vs Chad
Mechi Na 13: Tanzania vs Zimbabwe
Mechi Na 14: Mozambique vs South Sudan
**Mechi za Kwanza 16,17,18 Mei 2014
**Mechi za Marudiano 30,31 Mei au 1 Jun1 2014
RAUNDI YA TATU YA MTOANO
**WASHINDI 14 wa Raundi ya Pili ya Mtoano watacheza Raundi hii
TIMU |
MECHI NA |
TIMU |
Mechi ya Kwanza |
Mechi ya Pili |
Mshindi Mechi Na 1 |
1/2 |
Mshindi Mechi Na 2 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 3 |
3/4 |
Mshindi Mechi Na 4 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 5 |
5/6 |
Mshindi Mechi Na 6 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 7 |
7/8 |
Mshindi Mechi Na 8 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 9 |
9/10 |
Mshindi Mechi Na 10 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 11 |
11/12 |
Mshindi Mechi Na 12 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
Mshindi Mechi Na 13 |
13/14 |
Mshindi Mechi Na 14 |
18–20 Julai |
1–3 Agosti |
MAKUNDI:
KUNDI A
-Nigeria
-South Africa
-Sudan
-Mshindi 5/6
KUNDI B
-Mali
-Algeria
-Ethiopia
Mshindi 11/12
KUNDI C
-Burkina Faso
-Angola
-Gabon
-Mshindi 1/2
KUNDI D
-Ivory Coast
-Cameroun
-Congo DR
-Mshindi 9/10
KUNDI E
-Ghana
-Togo
-Guinea
Mshindi 3/4
KUNDI F
-Zambia
-Cape Verde
-Niger
-Mshindi 13/14
KUNDI G
-Tunisia
-Egypt
-Senegal
-Mshindi 7/8