Thursday, May 9, 2013

BPL KAZI IPO 4 BORA NANI KUTINGA KUCHEZA UEFA CHAMPIONZ LIGI

Katika mechi iliyopigwa Uwanjani Stamford Bridge kati ya Chelsea na Tottenham Usiku  leo jumatano usiku chelsea imeweza kulazimiswa sare ya kufungana bao 2-2 katika mtange uliokuwa na upinzania wa hali ya juu kawa kila timu.
Hivyo sare imeleta ugumu zaidi  kwa Timu hizo pamoja na Arsenal katika harakati ya kutafuta Timu 2 zitakazoungana na Mabingwa Manchester United na Man City kucheza UEFA CHAMPIONZ LIGI 
Msimu ujao.


MATOKEO WAFUNGAJI
MAGOLI:
Chelsea 2
-Oscar Dakika ya 10
-Ramires 39
Tottenham 2
-Adebayor Dakika ya 26
-Sigurdsson 80
MSIMAMO-Timu 7 za juu:
KUMBUKA: MANCHESTER UNITED TAYARI BINGWA 
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
36
42
85
2
Man City
36
31
75
3
Chelsea
36
34
69
4
Arsenal
36
31
67
5
Tottenham
36
18
66
6
Everton
36
14
60
7
Liverpool
36
25
55
TIMU 4 ZA JUU  HUINGIA KUCHEZA UEFA CHAMPIONZ LIGI NA YA 5 KUINGIA EUROPA LIGI
Ratiba Mechi muhimu:
*11 Mei - Aston Villa v Chelsea
*12 Mei - Stoke v Tottenham
*14 Mei - Arsenal v Wigan
*19 Mei - Chelsea v Everton
*Newcastle vArsenal
Tottenham v Sunderland
RATIBA YA BPL
Jumamosi Mei 11
[Saa 8 Dak 45 Mchana]
Aston Villa v Chelsea
Jumapili Mei 12
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Stoke v Tottenham
[Saa 11 Jioni]
Everton v West Ham
Fulham v Liverpool
Norwich v West Brom
QPR v Newcastle
Sunderland v Southampton
[Saa 12 Jioni]
Man United v Swansea
Jumanne Mei 14
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Wigan
[Saa 4 Usiku]
Reading v Man City
WEKUNDU WA MSIMBAZI WATWANGA JTK MGAMBO 1-0 U/TAIFA

KATIKA mechi ya VPL iliyopigwa leo katika dimba la uwanja wa taifa jijini Dar es saalam
kati ya simba na Jkt Mgambo Simba imefanikiwa kuibuka na ushindi wa bao 1-0
lililifungwa naHaruna Chanongo  katika Dakika ya 8 na kuipa ushindi.

wekundu hao wa msimbazia wamebakisha Mechi moja na Mahasimu wao Mabingwa Yanga 
hapo Mei 18 ikimbuke katika duru ya kwanza simba na yanga zilitoka sare ya kufungana bao 1-1
lakini kazi ipo ya kulipiza kipigo cha bao 5-0 za mwaka wa jana.
RATIBA:
Jumamosi Mei 11
Azam FC Vs Mgambo JKT
Kagera Sugar Vs Ruvu Shooting
Jumamosi Mei 18
Toto Africans Vs Ruvu Shooting
Mgambo JKT Vs African Lyon
JKT Ruvu Vs Mtibwa Sugar
TZ Prisons Vs Kagera Sugar
Simba SC Vs Yanga SC
JKT Oljoro Vs Azam FC
Polisi Moro Vs Coastal Union
MSIMAMO:
KUMBUKA YANGA BINGWA
NA
TIMU
P
W
D
L
GF
GA
GD
PTS
1
YANGA
25
17
6
2
45
14
31
57
2
AZAM FC
24
14
6
4
42
20
22
48
3
SIMBA SC
25
12
9
4
38
23
15
45
4
KAGERA SUGAR
24
11
7
6
25
18
7
40
5
MTIBWA SUGAR
25
10
9
6
29
24
5
39
6
COASTAL UNION
25
8
11
6
25
23
2
35
7
RUVU SHOOTING
24
8
7
9
21
23
-2
31
8
JKT OLJORO
25
7
8
10
21
26
-5
29
9
TANZANIA PRISONS
25
7
8
10
16
22
-6
29
10
JKT RUVU
25
7
5
13
21
38
-17
26
11
MGAMBO SHOOTING
24
7
4
13
16
24
-8
25
12
POLISI MOROGORO
25
4
10
11
13
23
-10
22
13
TOTO AFRICAN
25
4
10
11
21
33
-12
22
14
AFRICAN LYON
25
5
4
16
16
38
-22
19
-AFRICAN LYON IMESHUKA DARAJA