
Navas, mwenye Miaka 27, anategemewa kununuliwa kwa gharama ya Pauni Milioni 17.
Navas yumo kwenye Kikosi cha Spain kitakachocheza Mashindano ya FIFA ya Kombe la Mabara huko Brazil kuanzia Juni 15.
Hadi sasa Man City haijatangaza nani
Meneja wao mpya baada ya kumtimua Roberto Mancini ingawa wengi
wanategemea Manuel Pellegrini, aliekuwa Malaga, ndio atachukua nafasi
hiyo.