Thursday, February 13, 2014

LIVER YAICHAPA FULHAM 3-1-TOURE AENDELEA KUJIFUNGA:

Timu ya Liverpool imefanikiwa kupanda hadi nafasi ya nne kwenye msimamo wa Ligi Kuu ya England baada ya kuifunga mabao 3-2 Fulham jana usiku .

Kolo Toure alijifunga dakika ya nane kuipatia Fulham bao la kwanza na Richardson akaifungia timu hiyo bao la pili dakika ya 63.

Mabao ya Liverpool yalifungwa na Daniel Sturridge dakika ya 41, Coutinho dakika ya 40 na mkongwe Steven Gerrard dakika ya 90 kwa penalti.

Liverpool sasa imetimiza pointi 53 baada ya kucheza mechi 26 na inabaki nafasi ya nne.
MATOKEO
Jumatano Februari 12
Arsenal 0 Man United 0

Everton v Crystal Palace {Imeahirishwa}

Man City v Sunderland     {Imeahirishwa}

Newcastle 0 Tottenham 4

Stoke 1 Swansea 1

Fulham 2 Liverpool 3

MSIMAMO:TIMU

NA TIMU P W D L F A GD PTS
1 Chelsea 26 17 6 3 48 21 27 57
2 Arsenal 26 17 5 4 48 26 22 56
3 Man City 25 17 3 5 68 27 41 54
4 Liverpool 26 16 5 5 66 32 34 53
5 Tottenham 26 15 5 6 36 32 4 50
6 Everton 25 12 9 4 37 26 11 45
7 Man United 26 12 6 8 41 31 10 42
8 Southampton 25 10 9 7 37 29 8 39
9 Newcastle 26 11 4 11 32 38 -6 37
10 Swansea City 26 7 7 12 33 36 -3 28
11 West Ham 26 7 7 12 28 33 -5 28
12 Aston Villa 26 7 7 12 27 36 -9 28
13 Hull 26 7 6 13 25 31 -6 27
14 Stoke 26 6 9 11 27 41 -14 27
15 Crystal Palace 25 8 2 15 18 34 -16 26
16 Norwich 26 6 7 13 19 39 -20 25
17 West Brom 26 4 12 10 30 38 -8 24
18 Sunderland 25 6 6 13 25 38 -13 24
19 Cardiff 26 5 7 14 19 44 -25 22
20 Fulham 25 6 2 18 26 58 -32 20
    TAZAMA MAPUNGUFU YA TOURE
Mchoro Kuhusu Toure Jinsi ilivyo Kuwa
TOURE AKIJIFUNGA