Tuesday, February 18, 2014

VPL:KESHO PRISON KUTUPA KARATA YAKE VS JKT RUVU

UWANJA wa Sokoine huko Jijini Mbeya, Kesho unatarajiwa kuchukua Nafasi kwa pambano la VPL, Ligi Kuu Vodacom, ambapo Wenyeji Tanzania Prison wakishuka dimbani kuvaana  na Jkt Ruvu Kutoka Kibaha Mkoani pwani.VPL_2013-2014-FP
Tanzania Prison watashuka dimbani kuhakikisha wanapata alama tatu muhimu ili Kujiweka mahala Pazuri kuepuka Janga la kushaka daraja.
a,mbapo kwa sasa Katika msimamo wa VPL Prison ipo Nafasi ya pili kutoka mwisho ikiwa na Alama 13 huku mpinzani wake akiwa katika Nafasi ya 9 na alama 19a Magoli.
­­

MSIMAMO:
NA
TIMU
P
W
D
L
GD
PTS
1
Azam FC
16
10
6
0
19
36
2
Yanga SC
16
10
5
1
22
35
3
Mbeya City
18
9
8
1
10
35
4
Simba SC
18
8
8
2
17
32
5
Ruvu Shooting
17
6
7
4
3
25
6
Kagera Sugar
18
5
8
5
0
23
7
Coastal Union
18
4
10
4
3
22
8
Mtibwa Sugar
18
5
7
6
-1
22
9
JKT Ruvu
17
6
1
10
-8
19
10
Ashanti United
17
3
5
9
-14
14
11
JKT Oljoro
18
2
8
8
-14
14
11
Mgambo
18
3
5
10
-18
14
14
Prisons FC
15
2
7
6
-9
13
12
Rhino Rangers
18
3
6
9
-10
13

RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumatano Februari 19
Tanzania Prisons v JKT Ruvu
Jumamosi Februari 22
Ruvu Shooting v Yanga
Kagera Sugar v Rhino Rangers
Mtibwa Sugar v Ashanti United
Coastal Union v Mbeya City
JKT Oljoro v Mgambo JKT
Azam FC v Tanzania Prisons
Jumapili Februari 23
Simba v JKT Ruvu