Thursday, June 5, 2014

UBORA DUNIANI: SPAIN BADO 1, GERMANY 2, BRAZIL SASA 3, STARS YAKWEA HADI 113

Timu ya Taifa ya Brazil,ambao ni Wenyeji wa Fainali za Kombe la Dunia wamepanda juu nafasi 1 na sasa wako Nafasi ya 3 katika Listi ya FIFA ya Ubora Duniani iliyotolewa Leo huku Mabingwa wa Dunia Spain wakibakia Nafasi ya 1, wakifuata Germany na Tanzania ikipanda Nafasi 9 na kukamata Nafasi ya 113.
England imerudi 10 Bora kwa kuishusha Greece wakati Argentina imepanda Nafasi 2 na ipo ya 5 na Uswisi ikoya 6 baada kupanda Nafasi 2.
Kwa Afrika, Timu ya juu kabisa ni Algeria iliyo Nafasi ya 22 baada kupanda Nafasi 3 na kuipiku Ivory Coast ambayo iko ya 23 baada kushuka Nafasi 2.
BRAZIL_SAMBA25 BORA:
1        Spain [Iko pale pale]
2        Germany [Iko pale pale]
3        Brazil [Imepanda Nafasi 1]
4        Portugal [Imeshuka Nafasi 1]
5        Argentina [Imepanda Nafasi 2]
6        Switzerland  [Imepanda Nafasi 2]
7        Uruguay [Imeshuka Nafasi 1]
8        Colombia [Imeshuka Nafasi 3]
9        Italy  [Iko pale pale]
10      England [Imepanda Nafasi 1]
11      Belgium [Imepanda Nafasi 1]
12      Greece [Imeshuka Nafasi 2]
13      USA   [Imepanda Nafasi 1]
14      Chile  [Imeshuka Nafasi 1]
15      Netherlands [Iko pale pale]
16      Ukraine[Imepanda Nafasi 1]
17      France [Imeshuka Nafasi 1]
18      Croatia [Imepanda Nafasi 2]
19      Russia [Imeshuka Nafasi 1]
20      Mexico [Imeshuka Nafasi 1]
21      Bosnia and Herzegovina [Imepanda Nafasi 4]
22      Algeria [Imepanda Nafasi 3]
23      Denmark [Iko pale pale]
23      Côte d'Ivoire [Imeshuka Nafasi 2]
25      Slovenia [Imepanda Nafasi 4]
TANZANIA-NAFASI ILIPO:
108    Kenya
109    Latvia
110    Bahrain
110    Canada
112    Niger
113    Tanzania [Imepanda Nafasi 9]
114    Namibia
115    Kuwait
116    Liberia
116    Rwanda