Friday, August 15, 2014

KIUNGO WA GOR MAHIA ATUA KWA WAGOSI WA TANGA ASAINI MKATABA WA MWAKA 1.

UONGOZI wa Klabu ya Coastal Union ya Tanga umeizidi kete klabu ya Simba SC baada ya kumsajili kiungo kati wa timu ya Gormahia ya nchini Kenya,Rama Saluma Mohamed aliyekuwa akiwaniwa na klabu hiyo.
Rama ametua kwenye klabu ya Coastal Union  akitokea nchini Kenya na kusaini  mkataba wa kuitumikia timu hiyo kwa kipindi cha mwaka
mmoja.