Vilabu hivyo vinatakiwa kulipa ada ya shillingi laki moja na mwisho wa kulipa ada hiyo ni agosti 30 mwaka huu ambapo hakutakuwa na muda wa nyongeza tena kutokana na awali ilikuwa ni tarehe 30 mwezi wa 7 mwaka huu.
Akizungumza na mtandao huu katibu wa chama cha wilaya mbozi MBOFA Willium Mwamlima amesema hiyo ni nafasi ya pekee kwa timu zilizochelewa kufika katika ofisi za chama hicho kuchukua fomu za usajili.