Baada ya Kuifumua
Tanzaania Prison Kocha Mkuu wa Prisons ya Mbeya, David Mwamwaja amesema kuwa mpango
mkubwa walionao ni kuendeleza vipigo kwa lengo la kujiimarisha kileleni.

Prisons iliitandika Ruvu
Shooting kwa mabao 2-0 katika mechi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa
Mabatini Mlandizi, Pwani.
Mwamwaja amesema kuwa Mechi
na Ruvu shooting ilikuwa ngumu lakini tumefurahia kushinda ambapo amesema lengo
kuu Tunataka kushinda zaidi na tumeanza kucheza mechi kadhaa za kirafiki
kujiimarisha.