Palace walisawazisha Bao katika Dakika ya 17 kwa Bao la Dwight Gayle alienasa Shuti la Yannick Bolasie lililopiga Posti na kumrudia.
Kipindi cha Pili Dakika ya 78 Joe Ledley aliwapeleka Palace mbele 2-1 na kisha Dakika 3 baadae Frikiki ya Mita 25 ya Mile Jedinak ilitinga na kuwapa Palace Bao lao la 3.
Kipigo hiki cha Leo kinawafanya Liverpool wawe wamechapwa Mechi 3 mfulilizo za Ligi na kushinda Mechi 1 tu kati ya 5 zilizopita na kuwaacha wakiwa Nafasi ya 12 wakiwa Pointi 18 nyuma ya Vinara Chelsea.
Katika Mechi zao 2 zilizopita, Liverpool wametandikwa 2-1 na Chelsea na 1-0 na Newcastle.
LIGI KUU ENGLAND
RATIBA/MATOKEO:
Jumapili Novemba 23
Crystal Palace 3 Liverpool 1
1900 Hull City v Tottenham
Jumatatu Novemba 24
2300 Aston Villa v Southampton
Jumamosi Novemba 29
1545 West Brom v Arsenal
1800 Burnley v Aston Villa
1800 Liverpool v Stoke
1800 Man Utd v Hull
1800 QPR v Leicester
1800 Swansea v Crystal Palace
1800 West Ham v Newcastle
2030 Sunderland v Chelsea
MSIMAMO:
