Saturday, November 1, 2014

VPL:AZAM FC, YANGA ZAPIGWA KIMOJA, SIMBA YALE YALE.

MATOKEO:
Jumamosi Novemba 1
Kagera Sugar 0 Yanga 1
Coastal Union 1 Ruvu Shooting 0
Ndanda FC 1 Azam FC 0
Mtibwa Sugar 1 Simba 1
JKT Ruvu 1 Polisi Moro 2
Stand United 0 Prisons 1

MABINGWA wa Ligi Kuu Vodacom Azam FC Leo Wameambua kipigo cha pili mfululizo baada kuchalazwa1-0 na Ndanda FC huko Nangwanda, Mtwara.
Wikiendi iliyopita, Azam FC, wakiwa kwao Azam Complex, walichapwa 1-0 na Ruvu JKT.

Huko Kaitaba, Bukoba, Kager Sugar iliifunga Yanga Bao 1-0 kwa Bao la Paul Ngway la Dakika ya 52 na Yanga kumaliza Mechi hii wakiwa Mtu 10 baada Nahodha wao, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, kutolewa nje kwa Kadi Nyekundu kwa tuhuma za kucheza vibaya.
Nao Simba wameendeleza mwendo wao ule ule wa kutoka Sare Mechi zao zote za Ligi Msimu huu baada ya kutoka 1-1 na Mtibwa Sugar huko Jamhuri, Morogoro.
Simba walitangulia kufunga Dakika ya 35 kwa Bao la Kichwa la Joseph Owino na Mchezaji wa zamani wa Simba, Mussa Hassan Mgosi, kuiswazishia Mtibwa kwenye Dakika ya 58.
Huko Mkwakwani, Tanga, Coastal Union waliichapa Ruvu Shooting Bao 1-0 na kuchupa hadi Nafasi ya Pili.
Ligi hii inaendelea hapo Kesho huko Mkwkwani Tanga kwa Mechi kati ya Mgambo JKT v Mbeya City.