KLABU za Tanzania hazitakwenda kwenye michuano ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati, maarufu kama Kombe la Kagame inayofanyika kuanzia wiki ijayo mjini Kigali, Rwanda.
Hiyo inafuatia kuingiliana kwa taarifa za Serikali, awali ilielezea kuzizuiatimu hizo kwenda sudani kutokana na hali ya machafuko, na baadaye ikiziruhusu kwenda baada ya kuhakikishiwa usalama wa klabu hizo na Serikali ya Sudan kuwa zitapata ulinzi wa kutosha.
serikali ilitoa ruhusa kwa timu hizi baada ya kupata uthibitisho kutoka serikali ya sudani huku ukitazama mashindano haya yanaanza Jumanne june 18 ambapo club hazijafanya maandalizi yoyote ya safari.
mbali na hiyo haitoshi baada ya zuio la awali, CECAFA (Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati) likateua timu mbadala kuziba nafasi ya timu tatu za Tanzania.
aidha Timu za bongo kwetu tanzania zilizotarajiwa kushiriki michuano hiyo ni Simba SC, Yanga za Dar es Salaam na Super Falcons ya Zanzibar.
katika hali ya kawaida Sasamichuano hii ya Kagame mwaka huu, haikustahili kufanyika Sudan, ambako kila siku tunasikia watu wanauawa kwa mapigano ya wenyewe kwa wenyewe, lakini kutokana na sababu zake katibu wa CECAFA Musonye ameamua kuipeleka huko.
Hivyo mtandao huu umefanya mazungumzo mbalimbali za wadau wa michezo hapa nchini ambapo miongoni mwao wamezungumza katika hali ya kawaida endapo machafuko ya kitokea"
inaamaa vilabu vya tanzania ndio vitapata fursa ya kuwa chini ya uangalizi haya yote yanatokana kauli ya serikali ya sudani kuiandikia barua serikali ya tanzania kupitia wizira ya habari utamaduni na michezo kuwa timu za tanzania zitapata ulinzi wa kutoka katika michuani hiyo.
katika hali ya kawaida wadau wamesema haiingii akilini kuzipeleka timu na kwenda kuziangamiza katika nchi ambayo haishiwi vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Hata hivyo katika hali ya kawaida inamaana vilabu vya tanzania ndio vyenye umuhimu katika suala la ulinzi vipi kenya na burundi pamoja na uganda vilabu hivi havihitaji ulinzi?".
Mbali ya yote michuano hii haikustahili kuchezwa Sudani kutokana na sababu ambazo kila mtu anazifamu vita za wenyewe kwa wenyewe ambapo kila siku tunasikia vurugu za hapa na pale.Tukumbuke michezo ni burudani na starehe ya aina yake endapo kutakuwa na vurugu za hapa na pale pasi furaha ya michezo inapotea kabisa Hivyo CECAFA kwa mara nyingine tena tulitazame hili.
RATIBA KOMBE LA KAGAME ILIKUWA HIVI:
KUANZIA JUNI 18 HADI JULAI 2, 2013 (EL-FASHIR NA KADUGLI, SUDAN)
TAREHE TIMU TIMU KUNDI/MUDA UWANJA
18.06.2013. TUSKER SUPER FALCON B - SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL HILLAL AL NASRI B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
19.06.2013. VITALOO PORTS C - SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
20.06.2013. YANGA SC EXPRESS C - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
20.06.2013. ELMAN FC APR FC A - SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
20.06.2013. SUPER FALCON AL NASRI B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
20.06.2013. TUSKER AL-SHANDY B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
21.06.2013. EL MERREIKH SIMBA SC A -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
22.06.2013. EXPRESS FC VITALOO C - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
PORTS YANGA SC C -SAA 10:00 JIONI EL FASHER
22.06.2013. AL NASRI TUSKER B - SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL SHANDY AL HILAL B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
23.06.2013 APR SIMBA SC A - SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
EL MERREIKH ELAM FC A -SAA 10:00 JIONI
EL-FASHER
24.06.2013 AL NASRI AL SHANDY B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
SUPER FALCON AL HILLAL B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
24.06.2013. PORTS EXPRESS FC C -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
25.06.2013. VITALOO YANGA SC C -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
26.06.2013. AL SHANDY SUPER FALCON B -SAA 8:00 MCHANA KADUGLI
AL HILLAL TUSKER B -SAA 10:00 JIONI KADUGLI
26.06.2012. SIMBA SC ELMAN FC A -SAA 8:00 MCHANA EL-FASHER
APR FC EL MERREIK A -SAA 10:00 JIONI EL-FASHER
27.06.2013. MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO
MAPUMZIKO
28.06.2013. (23) B2 VS C2 (24) B1 VS BEST Q UTATANGAZWA KADUGLI
28.06.2013. (25) C1 VS A2 (26) A1 VS B3 UTATANGAZWA EL-FASHER
30.06.2013. WNR 23 VS WNR 25 WIN 24 VS WIN 26 UTATANGAZWA
01.07.2013. MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO MAPUMZIKO
02.07.2013. ILIYOFUNGWA ILIYOFUNGWA MSINDI WA TATU EL-FASHER
ALIYESHINDA 27 ALIYESHINDA 28 FAINALI
TAREHE | TIMU | TIMU | KUNDI/MUDA | UWANJA |
18.06.2013. | TUSKER | SUPER FALCON | B - SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL HILLAL | AL NASRI | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
19.06.2013. | VITALOO | PORTS | C - SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
20.06.2013. | YANGA SC | EXPRESS | C - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
20.06.2013. | ELMAN FC | APR FC | A - SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
20.06.2013. | SUPER FALCON | AL NASRI | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
20.06.2013. | TUSKER | AL-SHANDY | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI |
21.06.2013. | EL MERREIKH | SIMBA SC | A -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI |
22.06.2013. | EXPRESS FC | VITALOO | C - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
PORTS | YANGA SC | C -SAA 10:00 JIONI | EL FASHER | |
22.06.2013. | AL NASRI | TUSKER | B - SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL SHANDY | AL HILAL | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
23.06.2013 | APR | SIMBA SC | A - SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
EL MERREIKH | ELAM FC | A -SAA 10:00 JIONI |
EL-FASHER
|
24.06.2013 | AL NASRI | AL SHANDY | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
SUPER FALCON | AL HILLAL | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
24.06.2013. | PORTS | EXPRESS FC | C -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
25.06.2013. | VITALOO | YANGA SC | C -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER |
26.06.2013. | AL SHANDY | SUPER FALCON | B -SAA 8:00 MCHANA | KADUGLI |
AL HILLAL | TUSKER | B -SAA 10:00 JIONI | KADUGLI | |
26.06.2012. | SIMBA SC | ELMAN FC | A -SAA 8:00 MCHANA | EL-FASHER |
APR FC | EL MERREIK | A -SAA 10:00 JIONI | EL-FASHER | |
27.06.2013. | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO |
MAPUMZIKO
|
28.06.2013. | (23) B2 VS C2 | (24) B1 VS BEST Q | UTATANGAZWA | KADUGLI |
28.06.2013. | (25) C1 VS A2 | (26) A1 VS B3 | UTATANGAZWA | EL-FASHER |
30.06.2013. | WNR 23 VS WNR 25 | WIN 24 VS WIN 26 | UTATANGAZWA | |
01.07.2013. | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO | MAPUMZIKO |
02.07.2013. | ILIYOFUNGWA | ILIYOFUNGWA | MSINDI WA TATU | EL-FASHER |
ALIYESHINDA 27 | ALIYESHINDA 28 | FAINALI |