Wednesday, May 15, 2013

MFAHAMU KWA UNDANI ZAIDI NEYMAR KATIKA HARAKATI ZA SOKA

                             NEYMAR
Neymar celebrating (cropped).jpg

Taarifa kuhusu yeye
Full nameNeymar da Silva Santos Júnior
Date of birth5 February 1992 (age 21)
Place of birthMogi das CruzesBrazil
Height1.74 m (5 ft 9 in)[1]
Playing positionForward

Timu ya sasa
Current clubSantos
Number11

Timu za ujana
1999–2003Portuguesa Santista
2003–2009Santos

Timu ya wakubwa
mwakaTimumechigoli
2009–Santos102(54)
Timu ya taifa
2009Brazil U173(1)
2011Brazil U207(9)
2012Brazil U237(4)
2010–Brazil32(20)

MATAJI NA CLUB KLABU HIZI

SANTOS
Campeonato Paulista (3): 2010, 2011, 2012
Copa kufanya Brasil (1): 2010
Copa Libertadores (1): 2011
Recopa Sudamericana (1): 2012
timu ya taifa ya
  
TIMU YA TAIFA BRAZIL
Amerika ya Kusini Vijana michuano ya (1): 2011
Superclásico de las Amerika (2): 2011, 2012
Olimpiki Silver Medali (1): 2012


TUZO BINAFSI.
Best Young Mchezaji wa Campeonato Paulista (1): 2009
Bora Mbele ya Campeonato Paulista (3): 2010, 2011, 2012
Bora Mbele ya Campeonato Brasileiro Serie A (3): 2010, 2011, 2012
Mchezaji bora wa Campeonato Paulista (3): 2010, 2011, 2012
Mchezaji bora wa michuano ya Vijana ya Amerika ya Kusini (1): 2011
Mchezaji bora wa Copa Libertadores (1): 2011
Mchezaji bora wa Campeonato Brasileiro Serie A (1): 2011
Mchezaji bora wa Recopa Sudamericana (1): 2012
Vijana Mchezaji wa Mwaka (1): 2011
Campeonato Brasileiro Serie kikosi michuano ya (3): 2010, 2011, 2012
Copa Libertadores michuano Squad (1): 2012
tuzo ya Arthur Friedenreich (2): 2010, 2012
Armando Nogueira nyara (2): 2011, 2012
mchezaji  bora katika Ligi ya Brazil na gazeti Placar mpira wa  Dhahabu (1): 2011 -
Mpira wa Fedha (2): 2010, 2011 - Best Mbele katika Ligi ya Brazil na gazeti Placar
Fedha mpira hors Concours (1): 2012
Kiatu cha Dhahabu {2): 2010, 2011, 2012 - Wengi malengo katika kila ushindani katika Brazil
Copa Brasil mfungaji  bora (1): 2010
Amerika ya Kusini Vijana michuano mfungaji  bora(1): 2011
FIFA Kombe la Dunia Bronze mpira (1): 2011
Amerika ya Kusini Mchezaji wa Mwaka (2): 2011, 2012
FIFA Puskás tuzo (1): 2011
Campeonato Paulista  mfungaji bora (1): 2012
Copa Libertadores mfungaji bora (1): 2012

CHELSEA VS ARSEANAL ENDAPO MAMBO YATAKUWA SIYO

Kamati ya BPL, ligi kuu uingereza imethibitisha kuwa yawezekana
ikawepo Mechi ya Mchujo yakupata Mshindi wa 3 endapo Chelsea na 
Arsenal zitamaliza Msimu hapo Jumapili zikiwa zimelingana kila kitu.

Hivyo ikitokea  jumapili Chelsea na everton zikitoka sare ya bila 
kufungana 0-0 na arsenal kuifunga Newcastle United 2-1 timu hizo 
zitakuwa sawa kwa pointi na tofauti ya magoli ya kufunga na
kufungwa Sababu kubwa ya kuwepo kwa mtange huo wa mchujo 
kupata msindi wa tatu wa
BPL ambapo timu tatu za juu zitacheza UCL, UEFA CHAMPIONZ LIGI"

MSIMAMO: BPL FAHAMU MAN U TAYARI NI BINGWA" 4 KUCHEZA UEFA.
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
37
43
88
2
Man City
37
33
78
3
Chelsea
37
35
72
4
Arsenal
37
34
70
5
Tottenham
37
19
69
6
Everton
37
16
63
7
Liverpool
37
27
58
8
West Brom
37
-4
48
9
Swansea
37
-1
46
10
West Ham
37
-10
43
11
Stoke
37
-11
41
12
Norwich
37
-18
41
13
Newcastle
37
-22
41
14
Southampton
37
-11
40
15
Fulham
37
-13
40
16
Aston Villa
37
-22
40

17
Sunderland

37

-12

39
18
Wigan
37
-26
35
19
Reading
37
-28
28
20
QPR
37
-29
25
Matokeo yafuatayo ndio yatafanya Chelsea na Arsenal zimalize 
Msimu zikiwa sawa kwa kila kitu:
Chelsea 0-0; Arsenal washindi 2-1
Chelsea 1-1; Arsenal washindi 3-2
Chelsea 2-2; Arsenal washindi 4-3
Chelsea 3-3; Arsenal washindi 5-4
Wasimamizi hao wa BPL wamefafanua kuwa Mechi hiyo ya Mchujo itachezwa
kwenye Uwanja ambao si Stamford Bridge wala Emirates kwenye Tarehe
ambayo itapangwa.


TIMU ZA ULAYA:
UCL:
-Man United
-Man City
-2 kati ya Chelsea, Tottenham & Arsenal
Timu 3 za Juu BPL huanza Makundi na 
Timu iliyo nafasi ya 4 huanzia Raundi ya Mchujo.
EUROPA LIGI:
*Swansea City
*Wigan  athletic
Timu itakayomaliza Nafasi ya 5 kwenye BPL
Huenda ikaongezeka 1 nyingine ikiwa England itakuwemo 3 Bora ya UEFA
Respect Fair Play League.
BPL: RATIBA-MECHI ZA MWISHO MSIMU HUU
Jumapili 19 Mei
[Saa 12 Jioni]
Chelsea v Everton
Liverpool v QPR
Man City v Norwich
Newcastle v Arsenal
Southampton v Stoke
Swansea v Fulham
Tottenham v Sunderland
West Brom v Man United
West Ham v Reading
Wigan v Aston Villa

SCOLARI AMUWEKEA KIFUA NEYMAR KUFUTIA TUHUMA ZA KUSHUKA KIWANGO.

KOCHA wa timu ya taifa ya Brazil, Luis Felipe Scolari amuwekea kifua Neymar kufuatia tuhuma za mshambuliaji huyo kushuka kiwango katika klabu klabu yake kwa miezi ya karibuni. Nyota huyo anayekipiga katika klabu ya Santos ni miongoni mwa wachezaji walioitwa katika kikosi kitakachoshiriki Kombe la Shirikisho mwezi ujao na kocha huyo mwenye umri wa miaka 64 amedai kuwa kiwango chake ndicho kilichopelekea kumuita katika kikosi chake. Scolari amesema Neymar amekuwa akicheza vyema katika ngazi ya klabu ingawa wengi hawatakubaliana name kwenye hilo lakini kwa maono yetu ya kiufundi hatuoni tatizo lolote kuwa naye kwenye kikosi. Scolari pia alitetea uamuzi wake wa kuwaacha nyota wengine wakongwe kama Ronaldinho na Kaka akidai kuwa bado wana nafasi ya kuwemo katika kikosi katika siku zijazo kama wataimarisha viwango vyao kuliko ilivyo hivi sasa.

FRANK LAMPARD BADO NIPO NIPO SANA CHELSEA SAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA.

KIUNGO mkongwe wa timu ya taifa england na klabu ya Chelsea, Frank Lampard amekubali kuongeza mkataba wa mwaka mmoja utakaomuweka Stamford Bridge kwa msimu mmoja zaidi. Nyota huyo ambaye ana rekodi ya kufunga mabao mengi zaidi Chelsea mustakabali wake umekuwa gumzo kwa kipindi cha miaka miwili iliyopita lakini sasa ameamua kubakia hapo kwa msimu mwingine. Lampard ambaye mkataba wake wa zamani ulikuwa umalizike mwishoni mwa msimu huu alikuwa akihusishwa na tetesi za kuhamia katika Ligi Kuu nchini Marekani kwenye klabu ya Los Angeles Galaxy kabla Chelsea hawajampatia mkataba huo mpya wa miezi 12. Mashabiki wa soka wa Chelsea wamekuwa wakipeperusha mabango katka mechi za timu hiyo wakitaka nyota huyo aliyefunga mabao 203 na kuipita rekodi ya Bobby Tambling aendelee kuwepo hapo. Lampard anatarajiwa kuwa nahodha wa kikosi cha Chelsea ambacho kitajitupa uwanjani baadae kucheza na Benfica ya Ureno katika fainali ya michuano ya Europa League jijini Amsterdam.

    FRANK LAMPARD KATIKA KATIKA HARAKARI ZA SOKA DUNIANI

Jina :Frank Lampard
Urefu
1.83 m (6 ft 0 in)
Playing position
[Midfielder]
TIMU YA SASA
Current club
                       TIMU YA UKUBWA
Miaka
Timu
Apps
(Gls)
1994–2001
148
(24)
2001-
363
(125)
Timu ya Taifa ya Kandanda
1999
90
(23)

FIFA YAONYA MAOFISA WA JIJI LA SAO PAULO KUHUSU KUPOTEZA HAKI YA KUANDAA KOMBE LA DUNIA 2014

SHIRIKISHO la Soka Duniani-FIFA limeonya maofisa wa jiji la Sao Paulo kwamba wanaweza kupoteza haki ya kuandaa baadhi ya mechi za Kombe la Dunia 2014 kwasababu ya kuchelewa kukamilika kwa uwanja. Tishio hilo limeleta hasira kwa wamiliki wa kiwanja cha Corinthians ambao wamedai kuwa FIFA wanaweza kuwanyima haki hiyo kama wakitaka lakini hawawezi kufanya kazi chini shinikizo. Katibu mkuu wa FIFA Jerome Valcke amesema shirikisho hilo haliwezi kukubali kitu chochote ambacho kitapelekea uwanja huo ambao utachezwa mechi sita ikiwemo ile ya ufunguzi, kushindwa kufikia tarehe ya mwisho waliyowekewa. Mafundi tayari wameonya kuwa uwanja huo hautarajiwa kuwa tayari mpaka mwishoni mwa Februari mwakani. Valcke amesema kuanzia sasa mpaka hapo tiketi zitakapoanza kuuzwa wana uwezo wa kubadilisha mechi hizo katika viwanja vingine vilivyo tayari, hivyo wanasubiri mpaka Agosti mosi ili kuangalia uwezekano wa kubadilisha viwanja.

FAINALI EUROPA LIGI- LEO JUMATANO CHELSEANI VS BENFICA DIMBANI


Katika mechi ya kukata na shoka kesho jumatano mei 15 ni fainali ya europa ligi  kati ya chelsea wakitinga katika jijini  la amsterdam huko uholanzi  kukipiga  benfica  ya ureno huku chelsea ikiwazakuweka rekodi ya kuwa timu ya kwanza kabisa kuweza kutwaa ubingwa wa uefa championz ligi na europa ligi mfululizo.
endapo chelsea wataibuka na ushindi basi itakuwa klabu ya nne barani uaya kuweza kutwaa makombe yote makubwa wakifuatiwa na juventus ,afc ajax na fc bayen munich ambazo zimeshawahi kushinda kombe la washindi mwaka 1970-71 na 1997-98.
FAINALI:EUROPA LIGI 
REKODI KWA TIMU HIZI"
Benfica

1989/90 Klabu Bingwa Ulaya: Walifungwa 1-0 na  AC Milan
1987/88 Klabu Bingwa Ulaya: Walifungwa Penati 6-5 na PSV Eindhoven (Sare 0-0)
1982/83 UEFA Cup: Walifungwa Jumla Bao 2-1 kwa Mechi 2 na  RSC Anderlecht 
1967/68 Klabu Bingwa Ulaya: Walifungwa 4-1 na Manchester United
1964/65 Klabu Bingwa Ulaya: Walifungwa 1-0 na FC Internazionale Milano
1962/63 Klabu Bingwa Ulaya: Walifungwa 2-1 na AC Milan
1961/62 Klabu Bingwa Ulaya: Washindi 5-3 na Real Madrid CF
1960/61 Klabu Bingwa Ulaya: Washindi 3-2 na FC Barcelona
Chelsea:
2011/12 UEFA Champions League: Washindi Penati 4-3 na Bayern Münich (1-1)
2007/08 UEFA Champions League: Walifungwa 6-5 na Man United FC (Sare 1-1)
1997/98 Kombe la Washindi: Washindi 1-0 na VfB Stuttgart
1970/71 Kombe la Washindi: Washindi 2-1 na Real Madrid (sare 1-1)
Timu hizi mbili zote zimetinga Fainali hii baada ya kutolewa katika hatua za
 Makundi ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, na hatimaye kushiriki EUROPA LIG.
EUROPA LIGI-WAFUNGAJI BORA:
-8 Libor Koza [Lazio]
-7 Edinson Cavabi [Napoli]
-6 Oscar Cardozo [Benfica]
-6 Rodrigo Palacio [Inter Milan]
-5 Fernando Torres [Chelsea]
Chelsea na benfica zilikutana kwa mara ya kwanza kwenye Mashindano ya Klabu Barani Ulaya 
Mwaka jana kwenye Robo Fainali ya UCL na Chelsea, chini ya Meneja Roberto Di Matteo,
iliifunga Benfica nje ndani, 1-0 huko Lisbon na 2-1 Stamford Bridge, wakiwa njiani kulitwaa Kombe hilo.
Kwa Benfica, hii itakuwa Fainali yao ya 9 Barani Ulaya na kwa Chelsea ni ya 5 lakini Chelsea wameshinda Fainali hizo 3 na Benfica 2 huku Benfica wakiwa wapo kwenye wimbi la kufungwa katika Fainali 6 tangu washinde ile ya Klabu Bingwa Ulaya Mwaka 1962 ila hii ni Fainali yao ya kwanza baada ya Miaka 23.
DONDOO ZA MAKOCHA WOTE WAWILI.


-Akiwa Liverpool, Rafael Benitez wa Chelsea alisimamia Mechi 4 dhidi ya Benfica 
na kushinda 1 tu na kufungwa 3.
-Katika Mechi za UEFA, Bernitez amesimamia Mechi 138 na Jorge Jesus wa Benfica 
Mechi 74 Baada ya kutwaa Taji hili na Valencia Mwaka 2003/04,
Benitez anaweza kuwa Kocha wa Pili, baada ya Giovanni Trapattoni ambae ameshinda mara 3,
kulitwaa na Klabu mbili tofauti Wengine waliotwaa mara mbili ni Luis Molowny akiwa
(Real Madrid, 1985 na 1986) na Juande Ramos (Sevilla FC, 2006 na 2007).

Tuesday, May 14, 2013

AL AHLY KUUMANA USO KWA USO NA USO NA MAHASIMU WAO MISRI ZAMALEK

Katika Jijini Cairo, Misri  hii leo Droo ya hatua ya Makundi ya Mashindano ya CAF ya CHAMPIONZ 
LIGI imechukua nafasi na Mabingwa Watetezi Al Ahly wataanza utetezi wa Taji lao kwa kucheza Ugenini na wenzao Mahasimu wao wakubwa wa huko Misri Zamalek ambao wamepangwa pamoja kwenye Kundi A.
Hii ni mara ya pili kwa Miaka miwili mfululizo kwa
 Miambahiyo ya Misri kupangwa Kundi moja kwenye
michuano hii na safari hii wako pamoja na Orlando
 Pirates ya SouthAfrica na Timu mpya kwenye
 Mashindano haya ACLeopards ya Congo ambayo
 Mwaka jana ilitwaa Kombe la Shirikisho.
aidha Kundi B lina Timu za Esperance ya Tunisia, ambayo ndio ilitolewa Fainali na
 Al Ahly kwenye michuano hii Mwaka jana, na nyingine ni Coton Sport ya Cameroo
n, Sewe Sport ya Ivory Coast na Recreativo de Libolo of Angola, ambao ndio
 waliwatupa nje ya michuano hii waliokuwa Mabingwa wa Tanzania, Simba SC.
hata hivyo Mechi za Makundi zitachezwa kwa Mtindo wa Ligi wa Nyumban
i na Ugenini na Washindi wawili wa juu wa kila Kundi watasonga Nusu Fainali.
Mechi za Makundi zitachezwa kuanzia Julai hadi Septemba huku Nusu Fainali
ikitarajiwa kuwa Oktoba.
DROO:
KUNDI A
Al Ahly  (Egypt)
AC Leopards (Congo)
Orlando Pirates (South Africa)
Zamalek (Egypt)
KUNDI B
Esperance (Tunisia)
Coton Sport (Cameroon)
Recreativo de Libolo (Angola)
Sewe Sport (Ivory Coast)
HABARI HII YA CHINI TULIITOA MEI 7
CAF KOMBE LA SHIRIKISHO: DROO RAUNDI YA MCHUJO YAFANYWA"
DROO YA RAUNDI YA MCHUJO:
TP Mazembe (DRC) v Liga Muculmana (Mozambique)
St George (Ethopia) v ENPPI (Egypt)
Stade Malien (Mali) v Lydia Academic (Burundi)
Enugu Rangers (Nigeria) v CS Sfaxien (Tunisia)
FUS Rabat (Morocco) v FAR Rabat (Morocco)
CA Bizertin (Tunisia) v Ismaily (Egypt)
Entente Setif (Algeria) v US Bitam (Gabon)
JSM Bejaia (Algeria) v Etoile Sahel (Tunisia)
-MECHI KUCHEZWA Mei 17-19 na Marudiano Mei 31-Jun1 2
-FAHAMU: WASHINDI 8 WA RAUNDI HII WATAINGIZWA KWENYE
 DROO KUPANGA MAKUNDI MAWILI YA TIMU 4 KILA MOJA.