Mechi za Robo Fainali kuchezwa Apirili 1 & 2, Marudiano Aprili 8 & 9
Droo ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI iimefanyika huko Nyon, Uswisi na Mabingwa Watetezi Bayern Munich watakutana na Mabingwa wa England, Manchester United, na Mechi ya Kwanza kuchezwa Old Trafford Aprili 1 au 2.
Chelsea watakuwa Ugenin kucheza na Paris Saint-Germain.
Barcelona wataanza kwao Nou Camp kwa kucheza na wenzao wa Spain Atletico Madrid.
Real Madrid wataanza Nyumbani Santiago Bernabeu kwa kucheza na Klabu ya Germany Borussia Dortmund.
Mechi za Marudiano zitachezwa Wiki moja baadae.
Barcelona v Atletico Madrid
Droo ya Robo Fainali ya UEFA CHAMPIONZ LIGI iimefanyika huko Nyon, Uswisi na Mabingwa Watetezi Bayern Munich watakutana na Mabingwa wa England, Manchester United, na Mechi ya Kwanza kuchezwa Old Trafford Aprili 1 au 2.
Chelsea watakuwa Ugenin kucheza na Paris Saint-Germain.
Barcelona wataanza kwao Nou Camp kwa kucheza na wenzao wa Spain Atletico Madrid.
Real Madrid wataanza Nyumbani Santiago Bernabeu kwa kucheza na Klabu ya Germany Borussia Dortmund.
Mechi za Marudiano zitachezwa Wiki moja baadae.
Barcelona v Atletico Madrid
Real Madrid v Borussia Dortmund
Paris St Germain v Chelsea
Manchester United v Bayern Munich
Mechi kuchezwa April 1/2 and April 8/9