Saturday, May 11, 2013

FAINALI YA FA CUP DIMBANI MAN CITY VS WIGAN ATHLETIC LEO

FAINALI YA FA CUP  hii leo man city mabingwa wa BPL msimu uliopita, man city wanaingia dimbani huku wakikumbuka kupokonywa taji lao la BPL na man united, na kutolewa katika michuano ya  UEFA championz ligi  katika hatua za makundi hivyo wamebakisha FA CUP tu ambapo wataumana uso kwa uso na timu ngumu ya  wigan athletic ambayo ipo hatarini kushuka daraja endapo man city wataibuka na ushindi basi  watakuwa wamemnusuru Meneja wao Roberto Mancini.
Kwa upande Man City ni Fainali ya 10 ya FA CUP na kwa upande wa  Wigan ni Fainali ya 1 tangu Timu yao ianzishwe Mwaka 1932.
FAINALI FA CUP
MUDA: SAA 1 NA ROBO USIKU LEO
UWANJA: WEMBLEY
MAN CITY VS WIGAN ATHLETIC

HARAKATI HADI KUFIKA FAINALI.
WIGAN:
-Raundi ya 3: Wigan 1 Bournemouth 1 MARUDIANO :Bournemouth 0 Wigan 1
-Raundi ya 4: Macclesfield Town  0 Wigan 1
-Raundi ya 5: Huddersfield Town 1 Wigan 4
-Raundi ya 6: Everton 0 Wigan 3
-NUSU FAINALI [Wembley]: Millwall 0 Wigan 2
MAN CITY:
-Raundi ya 3: Man City 3 Watford 0
-Raundi ya 4: Stoke City 0 Man City 1
-Raundi ya 5: Man City 4 Leeds United 0
-Raundi ya 6: Man City 5 Barnsley 0
-NUSU FAINALI [Wembley]: Man City2 Chelsea 2
Ukitoa tathimini ya haraka haraka Kwa Man City hii ni Mechi rahisi kwa upande wao kutokana wanakutana na timu kibonde Wigan Athletic ambayo katika Ligi, BPL,Barclays Premier League ipo katika janga la  kushusuhwa Daraja.
Man city fa cup wametwaa mara 5 na hii ni  fainali mara 10
Mwaka 1904, 1934, 1956, 1969 na 2011.
Kwa upande wa  Man United wamekuwa Washindi wa Pili mara 4 katika FA CUP  ambapo ni  Miaka ya 1926, 1933, 1955 na 1981.
WOTE WAWILI MATOKEO MECHI ZAMWISHO:
2012/2013
17 Apr Man City 1 Wigan 0
28 Nov Wigan 0 Man City 2
2011/2012
16 Jan Wigan 0 Man City 1
10 Sep Man City 3 Wigan 0
2010/2011
05 Mar Man City 1 Wigan 1
19 Sep Wigan 0 Man City 2
2009/2010
29 Mar Man City 3 Wigan 0
18 Okt Wigan 1 Man City 1