Saturday, May 11, 2013

MKONGWE WA CHELSEA LAMPARD APIGA 2 AVUNJA REKODI

Kwenye mechi ya BPL LEO g la Dakika ya 88 la Frank Lampar limeleta burudani zaidi kwa Chelsea kuibuka na ushindi wa bao2-1 dhidi ya  Aston Villa Bao na hilo ni Bao lake la 203 kwa Chelsea akiwa ameivunja Rekodi ya Bobby Tambling ya Magoli 202 iliyowekwa kati ya 1959 na 1970.
Katika mchezo huu kila timu ilimaliza ikiwa Mtu 10 baada ya Ramires wa Chelsea na Christian Benteke kutolewa kwa Kadi Nyekundu.

wachezaji hawa Wote walipewa Kadi za Njano mbili na kutolewa kwa Kadi Nyekundu kwa Ramires kutolewa Dakika ya 45 na Benteke Dakika ya 58.
MAGOLI:

Aston Villa 1

Benteke Dakika ya 14

Chelsea 2
Lampard Dakika ya 61 & 88
BPL: BARCLAYS PREMIER LEAGUE

RATIBA
Jumapili Mei 12

[Saa 9 na Nusu Mchana]

Stoke v Tottenham

[Saa 11 Jioni]

Everton v West Ham

Fulham v Liverpool

Norwich v West Brom

QPR v Newcastle

Sunderland v Southampton

[Saa 12 Jioni]

Man United v Swansea

Jumanne Mei 14

[Saa 3 Dak 45 Usiku]

Arsenal v Wigan

[Saa 4 Usiku]

Reading v Man City

Jumapili 19 Mei

MECHI ZA MWISHO ZA LIGI MSIMU HUU

[Saa 12 Jioni]

Chelsea v Everton

Liverpool v QPR

Man City v Norwich

Newcastle v Arsenal

Southampton v Stoke

Swansea v Fulham

Tottenham v Sunderland

West Brom v Man United

West Ham v Reading

Wigan v Aston Villa
MSIMAMO:  BPL
PositionTeamPlayedGoalDifferencePoints
No movement1Man Utd364285
No movement2Man City363175
No movement3Chelsea373572
No movement4Arsenal363167
No movement5Tottenham361866
No movement6Everton361460
No movement7Liverpool362555
No movement8West Brom36048
No movement9Swansea36046
No movement10West Ham36-843
No movement11Stoke36-1041
No movement12Fulham36-1140
No movement13Aston Villa37-2240
No movement14Southampton36-1139
No movement15Sunderland36-1238
No movement16Norwich36-2238
No movement17Newcastle36-2338
No movement18Wigan36-2335
No movement19Reading36-2628
No movement20QPR36-2825