Sunday, February 23, 2014

BPL:MAN UNITED YAMKA USINGIZINI YAILAZA PALACE 2-0

Wakiwa Ugenini katika dimba la Selhurst Park kwenye Mechi ya Ligi Kuu England na vijana wagumu wa Crystal Palace, Mabingwa Watetezi wa England, Manchester United, walishinda Bao 2-0 na kujongea jongea Nafasi moja juu hadi Nafasi ya 6.
Mabao ya Kipindi cha Pili Dakika ya 62, Robin van Persie pamoja na Dakika ya 68  na Wayne Rooney wameiwezesha Man united kuizamisha Crystal palace katika mtanange huo.
MSIMAMO:
NA TIMU P GD PTS
1 Chelsea 27 28 60
2 Arsenal 27 25 59
3 Man City 26 42 57
4 Liverpool 26 34 53
5 Tottenham 26 4 50
6 Man Utd 27 12 45
7 Everton 26 10 45
8 Southampton 27 6 39
9 Newcastle 26 -6 37
10 West Ham 27 -3 31
11 Hull 27 -2 30
12 Swansea 26 -3 28
13 Aston Villa 26 -9 28
14 Stoke 27 -15 27
15 Crystal Palace 26 -18 26
16 West Brom 27 -8 25
17 Norwich 26 -20 25
18 Sunderland 26 -16 24
19 Cardiff 27 -29 22
20 Fulham 27 -32 21