Monday, August 25, 2014

RONALDO YUKO POA SANA KUIKABILI CORDOBA.

MSHAMBULIAJI mahiri wa klabu ya Real Madrid Cristiano Ronaldo anaweza kuanza katika mchezo wa ufunguzi wa La Liga dhidi ya timu iliyopanda daraja ya Cordoba pamoja na kushambuliwa na majeruhi. Nyota huyo wa kimataifa wa Ureno alitokea benchi katika mchezo wa Super Cup uliochezwa Ijumaa iliyopita na kufungwa na Atletico Madrid. Meneja wa Madrid Carlo Ancelotti amesema Ronaldo amefanya mazoezi vyema hivyo anaweza kumpanga katika kikosi chake. Ancelottio alikiri kuwa wakati wa maandalizi ya msimu alikuwa akisumbuliwa na majeruhi hivyo anahitaji kufanya jitihada ili aweze kurejea katika kiwangop chake. Ronaldo mwenye umri wa miaka 29 ambaye anashikilia tuzo ya mchezaji bora wa dunia alipata majeruhi ya mgongo wakati timu hizo mbili zilipotoa sare ya bao 1-1 katika mchezo wa mkondo wa kwanza.
Cristiano Ronaldo
Cristiano Ronaldo - Croatia vs. Portugal, 10th June 2013.jpg
Ronaldo playing for Portugal in 2013
Taarifa Binafsi
Full nameCristiano Ronaldo dos Santos Aveiro
Date of birth5 February 1985 (age 29)[1]
Place of birthFunchalMadeira, Portugal
Height1.85 m (6 ft 1 in)[2]
Playing positionForward
Club anayocheza
Current team
Real Madrid
Number7
acadaemy
1992–1995Andorinha
1995–1997Nacional
1997–2002Sporting CP
Timu za ukubwani
YearsTeamMechiGoli
2002–2003Sporting CP25(3)
2003–2009Manchester United196(84)
2009–Real Madrid165(177)
Timu ya taifa
2001Portugal U159(7)
2001–2002Portugal U177(5)
2003Portugal U205(1)
2002–2003Portugal U2110(3)
2004Portugal U233(2)
2003–Portugal114(50)