Monday, August 25, 2014

WAMBURA HUYOO SASA MKURUGENZI WA MASHINDANO TFF

Aliyekuwa Ofisa Habari wa TFF, Boniface Wambura Nyota emeendelea kunga’aa katika anga la kichezo ambapo sasa atakuwa Mkurugenzi wa Mashindano wa shirikisho hilo.

Wambura amepata nafasi hiyo baada ya TFF kuamua kumpandisha cheo na sasa anaicha ile nafasi yake ya ofisa habari.


Katibu Mkuu wa TFF, Mwesugwa Celestine ameyasema hayo leo wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar.