![]() |
Kikosi kabambe cha azam fc |
Aidha Katika Ziara hiyo huo unakuwa mchezo wao wa tatu kuambulia kipigo baada ya awali kuchapwa 3-0 na Kaizer
Chiefs, 2-1 na Orlando Pirates.
Hata hivyo katika ziara hiyo wanarambaramba hao wamefanikiwa kuibuka na ushindi mchezo mmoja dhidi
ya Mamelodi Sundowns baada ya kuichalaza bao 1-0.