Monday, August 12, 2013

LOPEZ AONYESHA KIWANGO CHA JUU ZAIDI KATIKA NAFASI YAKE"

Kipa mahiri wa Real Madrid Diego López ameweka katika wakati mgumu  kocha wake Carlo Ancelotti.   
Ancelotti anaonekana kuingia katika wakati mgumu kutokana na namna Lopez kuonyesha kiwango cha juu.
 
Lopez ameonyesha kiwango cha juu katika mechi za kirafiki za timu hiyo ambazo imecheza.


Hali inayomfanya Ancelotti azidi kuchanganyikiwa kuwa yupi hasa awe kipa namba moja kati ya hao wawili.
Lopez alianza kupata nafasi ya kudaka baada ya kocha wa zamani wa Real Madrid, Jose Mourinho kukorofishana na Casillas.