Sunday, February 16, 2014

BUNDESLIGA: BAYERN, DORTMUND ZATOA DOZI YA BAO 4 KILA MMOJA

Bayern Munich, Mabingwa Watetezi na Vinara wa Bundesliga, wameendelea kukwea kileleni mwa Ligi hiyo baada ya Bundasliga baaada ya kuichalaza Freiburg Bao 4-0.
Bao za Bayern Munich zilifungwa na Dante, Xherdan Shaqiri, Bao 2, na Claudio Pizarro.
Kwa upande wa Borussia Dortmund wameinyamazisha  Eintracht Frankfurt Bao 4-0 kwa Bao za Pierre Emerick Aubameyang, Bao 2, Robert Lewandowski, kwa Penati, na Jojic.
Ushindi huu umewafanya Dortmund waikaribie Nafasi ya Pili wakiwa Pointi 1 nyuma ya Bayer Leverkusen ambayo Jana ililala kwa Bao 2-1 na Schalke.

RATIBA/MATOKEO:
Ijumaa Februari 14
FSV Mainz 2 Hannover 0
Jumamosi Februari 15
Bayern Munich 4 SC Freiburg 0
BV Borussia Dortmund 4 Eintracht Frankfurt 0
SV Werder Bremen 1 Borussia Mönchengladbach 1
Eintracht Braunschweig 4 Hamburger SV 2
TSG Hoffenheim 4 VfB Stuttgart 1
Bayer 04 Leverkusen 1 Schalke 2
[Saa za Bongo]
Jumapili Februari 16
1730 FC Augsburg v FC Nuremberg
1930 Hertha Berlin v VfL Wolfsburg

MSIMAMO-Timu za Juu:
NA TIMU P W D L F A GD PTS
1 Bayern Munich 21 19 2 0 57 9 48 59
2 Bayer 04 Leverkusen 21 14 1 6 38 26 16 43
3 BV Borussia Dortmund 21 13 3 5 51 24 27 42
4 Schalke 04 21 12 4 5 41 30 11 40
5 Borussia Mönchengladbach 21 10 4 7 37 26 11 34
6 VfL Wolfsburg 20 10 3 7 33 24 9 33
7 FSV Mainz 05 21 10 3 8 31 35 -4 33
8 Hertha Berlin 20 9 4 7 31 24 7 31
9 FC Augsburg 20 9 4 7 30 29 1 31