Sunday, February 16, 2014

JUVE WAJIHAKIKISHIA UBINGWA WAKO JUU POINTI 12 MBELE YA AS ROMA

JUVENTUS Mabingwa wa Italy wakiwa katika dimba la Nyumbani wamefanikiwa kuichapa Timu ya Chievo Verona  Bao 3-1 Mabao ya Kwadwo Asamoah, Mchezaji kutoka Ghana, na Claudio Marchisio pamoja na Fernando Llorente huku Chievo Verona ikijipatia Bao moja baada ya Juve kujifunga wenyewe wakati Stefan Lichtsteiner akiwa katika harakati za kuokoa na Mpira kumgonga Martin Caceres na kutinga wavuni
Jumamosi Februari 15
ACF Fiorentina 1 Inter Milan 2
[Saa za Bongo]
Jumapili Februari 16
Calcio Catania 3 SS Lazio 1
Atalanta BC 0 Parma FC 4
Juventus FC 3 AC Chievo Verona 1
Cagliari Calcio 1 AS Livorno Calcio 2
Genoa CFC 3 Udinese Calcio 3
US Sassuolo Calcio 0 SSC Napoli 2
2245 AS Roma v UC Sampdoria
Jumatatu Februari 17
2245 Hellas Verona FC v Torino FC

MSIMAMO-Timu za Juu:
NA TIMU P W D L F A GD PTS
1 Juventus FC 24 20 3 1 59 19 40 63
2 AS Roma 22 15 6 1 45 11 34 51
3 SSC Napoli 24 15 5 4 49 27 22 50
4 ACF Fiorentina 24 13 5 6 43 26 17 44
5 Inter Milan 24 10 9 5 42 28 14 39
6 Parma FC 23 9 9 5 36 27 9 36
7 Hellas Verona 23 11 3 9 39 37 2 36
8 Torino FC 23 8 9 6 36 30 6 33
9 AC Milan 24 8 8 8 37 35 2 32