SERIKALI imesema ni wajibu wa kila sekta kuandaa watendaji wao kwa kuwadhamini katika masomo.
.jpg)
Hafla hiyo ilifanyika katika ofisi za Mamlaka ya Mawasiliano (TCRA), Ubungo jijini Dar es Salaam.
Dokta, Simba amesema kuwa ni mara ya nne kwa TCRA kutoa udhamini kwa elimu ya juu hasa kwa wale wa Tehama lengo ni kupata faida katika kizazi hiki na kijacho kikiwa na uelewa wa hali ya juu.